IQNA – Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu amepongeza juhudi za utafiti wa Quran zinazofanywa na Taasisi ya Ibn Sina nchini Russia.
Habari ID: 3480693 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/16
IQNA – Afisa mmoja wa Iran amesema kuwa mjumuiko na matembezi ya Arbaeen, yanayofanyika kila mwaka huko Karbala, yanatoa ujumbe wa mwangaza na ni “jibu la kivitendo” katika kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia).
Habari ID: 3480056 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/15
Mazungumzo ya Uislamu na Ukristo
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO) Hujjatul Islam Mohammad Mehdi Imanipour na Patriaki Kirill wa Moscow wamefanya mazungumzo katika mji mkuu wa Russia, Moscow.
Habari ID: 3476612 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/23
Mazungumzo ya kidini
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Shirika la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO) amesema kurudiwa kwa kesi za kuvunjia heshima matukufu ya kidini na ukimya au uhalalishaji unaofanywa na serikali za Magharibi kwa jina la uhuru wa kujieleza unaonyesha mwelekeo wa kimfumo wa kueneza chuki.
Habari ID: 3476484 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/29